- English
- Français
- Português
Special 2019 Conference Rates for Tanzanian Nationals
Kama wewe ni raia wa tanzania unaweza kustahili punguzo la bei za mikutano:
- 250USD kwa kila mwakilishi wa kampuni ya binafsi
- 150USD kwa kila mwakilishi wa taasisi ya Serekali ya Jamhuri ya Tanzania au Shirika la Wakulima.
Malipo kwa shilingi za Tanzania yatawezeshwa pia. Tafadhali wasiliana moja kwa moja: aca@africancashewallliance.com kudhibiti usajili wako. Asante sana!
If you are a Tanzanian national you can qualify for reduced conference rates:
- 250 USD per representative of a private company
- 150 USD per representative of a Tanzanian government institution or farmer cooperative
Payments in Tanzanian shillings will also be made possible. Please directly contact aca@africancashewallliance.com to secure your registration. Asante sana!